Hospitali Ya Wilaya Ya Kisarawe

Vitengo

Hospitali ina Vitengo 12;- 

  1. Maabara, 
  2. Miyonzi, 
  3. Meno, 
  4. RCH, 
  5. CTC, 
  6. TB, 
  7. Dhobi, 
  8. Utawala, 
  9. Macho, 
  10. Pharmacy, 
  11. Upasuaji na
  12. Idara ya Dharura
  • Hata hivyo Hospitali ina Wodi 7, ambazo ni:
  1.  Wodi ya Wazazi, 
  2. Wodi ya Watoto, 
  3. Wodi ya Upasuaji ya Wanaume, 
  4. Wodi ya Upasuaji ya Wanawake, 
  5. Female medical word, 
  6. Male medical word and 
  7. VIP ward.

Muhimu: Kila kitengo kina mkuu wa kitengo ambaye pia ni mjumbe wa "Hospital Management Team (HMT)"